Wednesday, 12 August 2015

WIZARA YA MAJI NA RASILIMALI YA MAJI WAKIELIMISHA WANANCHI SIKU YA NANENANE KILIMO,VYOMBO VYA HABARI WAKIUNGANA NA RADIO GENERATION FM


Wizara ya Maji wakiwasilisha taarifa kupitia vyombo ya habari kuhusu rasilimali za maji na vyanzo vya maji kupitia maonyesho ya nanenane,Hivyo basi wizara ya maji inawakumbusha wananchi kupata vibari vya maji kupitia Ofisi za bonde la Ziwa Nyasa Tukuyu,Ofisi ya Ziwa Rukwa Mbeya na Ofisi ya Mto Rufiji Iringa 


Generation FM wakitembelea banda la Wizara ya Maji katika maonyesho ya sikukuu ya nanenane Jijini Mbeya 

Vijana wengi wakipata mafunzo na maelezo kuhusu mfumo mzima wa maji na vyanzo vya maji kupitia Tekonologia mbalimbali na jinsi ya kutunza Rasilimali ya maji na vyanzo vyake,hapa tunaona vijana wakielimishwa jinsi ya kutumia boti ukiwa ndani ya maji.


    Hivi hapa ni vifaa vinavyo tumika kupima  kiasi cha maji na  hawa ni vijana wametembelea wizara ya maji na Vyanzo vya maji na kuona matumizi ya maji na Rasilimali ya maji.

                                            
Hapa kuna vifaa vingi vinavyo tumika kupima maji chini ya Aridhi,kunawatalaam wanao pima visima na kutoa kibari cha uchimbaji visima kwa manufaa ya rasilimali ya maji kupitia mabonde ya maji na wizara ya maji kwa kiwango kinacho hitajika       


Vyote hivi vilitumika katika maonyesho ya Nanenane



Kila kifaa na kazi yake kila mtu alipenda kujua jinsi gani atatunza vyanzo vya maji





No comments:

Post a Comment