Monday, 10 August 2015

BONDE LA ZIWA RUKWA



Hili ni eneo lote ambalo mwelekeo wa maji yake hatimaye

huingia katika Ziwa Rukwa. Eneo hili linajumuisha mikoa ya Mbeya, Rukwa, Katavi na sehemu ndogo ya mkoa wa Tabora

Wateja wengi tayari wanafaidika na huduma zetu

1050
Makampuni, mashirika na taasisi za watu binafsiwanavibali vya matumizi ya maji


Usimamizi shirikishi wa rasilimali maji kupitia jumuiya za watumia maji

Kwa maelezo zaidi fika Ofisi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa - Mbeya

Ofisi ya Bonde la Ziwa Rukwa
P.O. Box 762, MBEYA
+255 2500028
rukwabasin@yahoo.com
www.lakerukwabasin.co.tz

 Ofisi Ndogo Sumbawanga
P.O. Box 192, SUMBAWANGA
+255252802034
rukwabasinsuboffice@yahoo.com
www.lakerukwabasin.com


No comments:

Post a Comment