LAKE RUKWA BASIN
Friday, 28 August 2015
Wednesday, 12 August 2015
WIZARA YA MAJI NA RASILIMALI YA MAJI WAKIELIMISHA WANANCHI SIKU YA NANENANE KILIMO,VYOMBO VYA HABARI WAKIUNGANA NA RADIO GENERATION FM
Wizara ya Maji wakiwasilisha taarifa kupitia vyombo ya habari kuhusu rasilimali za maji na vyanzo vya maji kupitia maonyesho ya nanenane,Hivyo basi wizara ya maji inawakumbusha wananchi kupata vibari vya maji kupitia Ofisi za bonde la Ziwa Nyasa Tukuyu,Ofisi ya Ziwa Rukwa Mbeya na Ofisi ya Mto Rufiji Iringa
Generation FM wakitembelea banda la Wizara ya Maji katika maonyesho ya sikukuu ya nanenane Jijini Mbeya
Vijana wengi wakipata mafunzo na maelezo kuhusu mfumo mzima wa maji na vyanzo vya maji kupitia Tekonologia mbalimbali na jinsi ya kutunza Rasilimali ya maji na vyanzo vyake,hapa tunaona vijana wakielimishwa jinsi ya kutumia boti ukiwa ndani ya maji.
Hivi hapa ni vifaa vinavyo tumika kupima kiasi cha maji na hawa ni vijana wametembelea wizara ya maji na Vyanzo vya maji na kuona matumizi ya maji na Rasilimali ya maji.
Hapa kuna vifaa vingi vinavyo tumika kupima maji chini ya Aridhi,kunawatalaam wanao pima visima na kutoa kibari cha uchimbaji visima kwa manufaa ya rasilimali ya maji kupitia mabonde ya maji na wizara ya maji kwa kiwango kinacho hitajika
Vyote hivi vilitumika katika maonyesho ya Nanenane
Kila kifaa na kazi yake kila mtu alipenda kujua jinsi gani atatunza vyanzo vya maji
Monday, 10 August 2015
BONDE LA ZIWA RUKWA
Hili ni eneo lote ambalo mwelekeo wa maji yake hatimaye
huingia katika Ziwa Rukwa. Eneo hili linajumuisha mikoa ya Mbeya, Rukwa, Katavi na sehemu ndogo ya mkoa wa Tabora
Wateja
wengi tayari wanafaidika na huduma zetu
1050
Makampuni, mashirika na taasisi za watu binafsiwanavibali vya
matumizi ya maji
Usimamizi shirikishi wa rasilimali maji kupitia jumuiya za
watumia maji
Kwa maelezo
zaidi fika Ofisi ya Maji Bonde
la Ziwa Rukwa - Mbeya
Ofisi ya Bonde la Ziwa
Rukwa
P.O. Box 762, MBEYA
+255 2500028
rukwabasin@yahoo.com
www.lakerukwabasin.co.tz
Ofisi Ndogo Sumbawanga
P.O. Box 192, SUMBAWANGA
+255252802034
rukwabasinsuboffice@yahoo.com
www.lakerukwabasin.com
UTANGULIZI WA RASILIMALI YA MAJI BONDE LA ZIWA NYASA TUKUYU
Maji ni muhimu kiuchumi, kijamii na
kimazingira.
Matumizi ya maji yanapozidi uwezo wa vyanzo husababisha upungufu na kupeleka ukosefu wa maji Kimsingi usimamizi na
ugawaji wa maji unahitajika. Tunatambua kuwa Maji yote ni mali ya Taifa na
yanasimamiwa chini ya sheria ya usimamizi wa rasilimali za maji Na. 11 ya mwaka
2009.Lengo la sheria hii ni
kuratibu na kusimamia matumizi ya maji na kuzuia uchafuzi wa vyanzo. Kila mtu
aliyechukua au anayetaka kuchukua maji kwa matumizi yoyote anapaswa kuwa na hati ya kumiliki maji.
LNBWB ni
nini ?
LNBWB ni
ofisi inayosimamia na kuratibu
matumizi ya bonde la Ziwa Nyasa.
Ni yapi majukumu ya Ofisi ya
Bonde la Ziwa Nyasa?
Kusimamia na
kuratibu matumizi bora ya maji. Kudhibiti na
kuchukua hatua dhidi ya wachafuzi
wa
maji na vyanzo vyake. kutoa vibali vya kutumia maji
Ni
changamoto gani zipo katika usimamizi wa
rasilimali za maji?
Watu wengi wamekuwa
wanatumia maji bila vibali. Matumizi
makubwa ya maji
zaidi ya kiwango kinachohitajika. Watu wengi
wana imani kuwa maji ni zawadi
toka kwa Mungu na
haipaswi kulipiwa kama rasilimali nyingine. Uharibifu
mkubwa
katika vyanzo vya maji kutokana na ongezeko la watu. Upungufu wa maji katika
vyanzo vingi
Bodi
ya Maji ya Bonde imechukua hatua gani
katika kusimamia vyanzo vya maji na kuwa
na
uhakika wa maji
Bodi
ya Maji ya Bonde la Ziwa Nyasa katika kulinda na kutunza
vyanzo vya
maji,imeweza kuainisha vyanzo vya maji na
kushirikisha jamii husika katika
UNAFAIDIKA NA NINI HUDUMA
ZITOLEWAZO.
Huduma zitolewazo........................
- Kupata kibali kinachokulinda kisheria
- Visima vingi hukauka mara kwa mara, kutokana na kutofuata taratibu za uchimbaji na kutokuwa na utafiti wa kina. Sajili kisima chako katika Ofisi za Bonde ili kisima chako kiwe na uhakika wa maji.
- Ofisi ya Bonde ndio inayoweza kukupa utatuzi wa migogoro ya matumizi ya Maji.
- Kupitia jumuiya za watumia maji,vidakio,na bodi ya bonde znakushirikisha katika katika suala zima l;a usimamizi wa rasili mali maji
BONDE LA ZIWA NYASA
Hili ni eneo lote ambalo mwelekeo wa maji yake hatimaye huingia kaitka Ziwa Nyasa .
Eneo hili linajumuisha mikoa ya Mbeya,Njombe na Ruvuma.
Wateja wengi wamenufaika na huduma zetu 485 Makampuni mashirika na Tasisi za binafsi wanavibali vya maji.
Kwa
maelezo zaidi fika Ofisi ya Bonde ya Ziwa Nyasa Tukuyu
Wizara ya Maji
OfisiyaBonde la ZiwaNyasa
P.O. Box240 TUKUYU
+255 2552250
nyasabasin@yahoo.com
www.lakenyasabasin.com
Ofisi Ndogo Songea
P.O. Box 42, SONGEA
+25525260166
nyasabasinsuboffice@yahoo.com
www.lakenyasabasin.com
WIZARA YA MAJI, RASIMALI ZA MAJI NA BODI ZA MABONDE
Bodi za Maji za
Mabonde
Bonde ni nini?
Bonde la Ziwa Rukwa
Hili ni eneo lote ambalo mwelekeo wa maji yake hatimaye huingia katika Ziwa Rukwa. Eneo hili lina jumuisha mikoa ya Mbeya, Rukwa,Katavi na sehemu ndogo ya mkoa wa Tabora na Singida
Bonde la Ziwa Nyasa
Hili ni eneo lote ambalo mwelekeo wa maji yake hatimaye huingia katika Ziwa Nyasa.
Eneo hili linajumuisha mikoa ya Mbeya,
Njombe na Ruvuma.
Bonde la Mto Rufiji
Hili eneo lote ambalo mwelekeo wa
yake hatimaye huingia katika Mto Rufiji.
Eneo hili linajumuisha mikoa ya Iringa,Morogoro,Dodoma na sehemu ndogo ya mkoa wa Mbeya,Pwani,Ruvuma,Lindi na singida
Bodi hizi zinasimamia na kuratibu matumizi ya maji katika mabonde.
Bodi ya Bonde la Ziwa Rukwa
P.O. Box 762, MBEYA
+255 2500028
rukwabasin@yahoo.com
www.lakerukwabasin.co.tz
BodiyaBonde la Mto Rufiji / Bodi ya Bonde la Ziwa Nyasa
P.O. Box 1798, IRINGA / P.O. Box 240, TUKUYU
+255 (26) 2720951-4 / 0754 769622 / 0753398141
info@rufijibasin.com / nyasabasin@yahoo.com
www.rufijibasin.com / www.lakenyasabasin.com
HIZI NI OFISI ZA MAJI BONDE LA ZIWA RUKWA,OFISI YA MAJI BONDE LA ZIWA NYASA TUKUYU NA OFISI YA MAJI BONDE LA MTO RUFIJI IRINGA.
KUSAJILI VISIMA
Kibali kitakulinda upate kuwa na uhakika wa maji
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji ya Bonde
la Ziwa Rukwa
Bodi ya Maji ya Bonde la Ziwa Nyasa
Bodi ya Maji ya Bonde
la Mto Rufiji
Subscribe to:
Posts (Atom)